TUTUMIE HABARI NA PICHA MDAU!!

Friday, January 27, 2012

FRANCIS CHEKA KALAMA NYILAWILA WAPIMA UZITO KWA AJILI YA MPAMBANO WAO KESHO

Bondia Kalama Nyilawila (kushoto) akitunishiana misuri na Francis Cheka baada ya kupimauzito leo kwa ajiri ya mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Jamhuri Morogoro kesho.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

0 maoni: