TUTUMIE HABARI NA PICHA MDAU!!

Monday, February 20, 2012

MTU MZIMA SAID MABELA WA MSONDO NA MPINI WA SOLO

Mpiga gitaa la soli wa bendi ya Msondo Said Mabela akionyesha uwezo wake katika kucharaza gitaa hilo katika moja ya maonyesho ya bendi hiyo jijini Dar es salaam, Said Mabela ni mwanamuziki mkongwe lakini bado amebaki kuwa mbunifu na mtundu katika kupiga gitaa la solo kiasi kwamba amekuwa tegemeo la bendi hiyo

0 maoni: