
Mshabuliaji wa timu ya Simba Emmanuel Okwi akishangilia mara baada ya kufunga goli, katika mchezo wa Ligi kuu ya Vodacom, unaoendelea kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jioni hii dhidi ya Azam FC ya Chamazi.
Mpira umekwisha na timu ya Simba imeshinda magoli 2-0 dhidi ya Azam FC yaliyofungwa na mshambuliaji wa timu hiyo Emmanuel Okwi, mchezo wa leo ulikuwa ni wa kuvutia sana kwa kila timu lakini Simba imeonekana kutawala sana mchezo katika kipindi cha chote cha mchezo
Wachezaji wa timu ya Simba wakishagilia kwa pamoja na mashabiki mara baada ya kujipatia goli la kwanza katika mchezo wao dhidi ya Azam FC ya Chamazi.
0 maoni:
Post a Comment