TUTUMIE HABARI NA PICHA MDAU!!

Wednesday, February 29, 2012

TAIFA STARS VS THE MAMBAS 1-1, UWANJA WA TAIFA

Mchezaji Nizar Khalfan wa timu ya Taifa Stars akichuana na mchezaji Frasisco Masinga wa Msumbiji The "Mambas" wakati wa mchezo wao wa kuwania kufuzu katika fainali za kombe la mataifa ya Afrika yatakayofanyika nchini Afrika Kusini uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jioni ya leo. Mpira umekwisha na timu zote zimetoshana nguvu kwa kuwa na matokeo ya sare ya 1-1 mpaka mwisho0 wa mchezo huo magoli yalipatikana katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo kwa timu zote.
Wachezaji wa Msumbiji na Taifa Stars wakiwania mpira wakati wa mchezo wao unaofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni hii.
Wachezaji wa Msunbiji wakishangilia goli lao la kwanza pamoja na mashabiki wao lililofungwa katika kipindi cha kwanza.

0 maoni: