RAIS DKT. SHEIN AKITOA TAARIFA RASMI YA ZOEZI LA SENSA JUMAPILI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitoa Taarifa maalum kwa
Wananchi kuhusu zoezi la uandikishaji wa Sensa itakayofanyika siku ya
Jumapili tarehe  26 Augusti mwaka huu,ambayo itaweza kufanikisha mipango ya
maendeleo kwa Taifa. [Picha ya Ramadhan Othman, Ikulu.]

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!