RAIS DK SHEIN AHESABIWA KATIKA HUKO MIGOMBANI UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Moahmed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,pamoja na familia yao walipojiandikisha  kwa katika zoezi la
Sensa ya Watu na Makaazi, lililoanza leo nchini kote, wakiwa katika
Shehia ya Migombani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,   [Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Moahmed Shein,akijiandikisha na  familia yake kwa
Karani Asia Hassan Mussa,(kushoto) katika zoezi la Sensa ya Watu na
Makaazi, lililoanza leo nchini kote,Rais  akiwa katika  Shehia ya
Migombani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,(kulia ) Mke wa Rais Mama
Mwanamwema Shein,  [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!