Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Moahmed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,pamoja na familia yao walipojiandikisha kwa katika zoezi la
Sensa ya Watu na Makaazi, lililoanza leo nchini kote, wakiwa katika
Shehia ya Migombani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, [Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Moahmed Shein,akijiandikisha na familia yake kwa
Karani Asia Hassan Mussa,(kushoto) katika zoezi la Sensa ya Watu na
Makaazi, lililoanza leo nchini kote,Rais akiwa katika Shehia ya
Migombani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,(kulia ) Mke wa Rais Mama
Mwanamwema Shein, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]










