Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Rajabu Rutengwe baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kwa ziara ya jimbo Agust 25,2012.(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA