Wazira wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Terezya Huvisa akizungumza na Wafugaji wa kijiji cha Ihanga Wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro alipowataka Wafugaji hao kuondoa Mifugo yao na kuacha Uharibifu wa Mazigira kwenye hifadhi ya Bonde la Mto Kilombero wakati wa Ziara yake Wilaya ya Ulanga na Kilombero jana {picha na Ali Meja}









