ZIARA YA WAZIRI DKT.HUVISA KILOMBERO NA ULANGA

Wazira wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Terezya Huvisa akizungumza na Wafugaji wa kijiji cha Ihanga Wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro alipowataka Wafugaji hao kuondoa Mifugo yao na kuacha Uharibifu wa Mazigira kwenye hifadhi ya Bonde la Mto Kilombero wakati wa Ziara yake Wilaya ya Ulanga na Kilombero jana {picha na Ali Meja}

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!