Wadau mnaombwa msaada wa Matibabu kwa mama huyu

Mwanafunzi wa shule ya msingi Nyagao ya wasioona na wanaoona, iliyopo Wilaya ya Lindi,  Hussein Omari   akimsiiliza   Rafael Mohamed, anayesumbuliwa na  ugonjwa wa uvimbe ambao umemfanya ashindwe kuona  wakati  walipokwenda shuleni hapo kwa ajiri ya kupatiwa msaada wa  vyakula mbalimbali vilivyotolewa msaada na wasamalia wema.

Mkazi wa Kijiji cha Mnamba kata ya Nampa mkoa wa Lindi,Rafael Mohamed  (36)anayesumbuliwa na uvimbe wa pua tangu mwaka 1984 akisaidiwa na mtoto wake  Shafi Abdarah mwenye umri wa miaka 18.,kwende kutafuta mahitaji ya kilasiku ,mama huyoanaomba msaada wa matibabu kwani madaktari wa Hospitali ya mkoa wa Lindi wameshindwa kumfanyia upasuaji.

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!