KAMPUNI YA SIMU ZA MIKONONI TIGO YADHAMINI MAONYESHO YA SARAKASI MAMA AFRICA

Mtaalam wa promoshen, Mahusiano na Udhamini wa Kampuni ya simu za mkononi TIGO Bw. Edward Shila (katika) akizungumza na waandishi wa habari  katika ukumbi wa Hotel ya Southern Sun jijini Dar es salaam leo kuhusu kampuni hiyo  kudhamini maonyesho ya sarakasi yajulikanayo kama (Tigo mama Africa) yatakayofanyika katika ukumbi wa Sinema wa mwenge  jijini Dar es salaam kuanzia tarehe 27 semptemba mpaka 04 Novemba mwaka huu 2012,michezo hiyo itaambatana na sarakasi,upindaji wa viungo,michezo ya viinimacho,michezo ya angani. katika picha kulia ni  Afisa uhusiano tigo Alice Maro,wakwanza kushoto Mkurugenzi mtendaji wa Mancom Centre Bw.Costautine Magavilla.

(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!