PINDA AMPOKEA NAIBU WAZIRI MKUU WA CHINA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu wa China, Mhe. Hui Liangyu wakati alipompokea kwenye wuwanja wa ndege wa Dar es salaam Septemba  5, 2012. Mhe. Hui yupo nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!