Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu wa China, Mhe. Hui Liangyu wakati alipompokea kwenye wuwanja wa ndege wa Dar es salaam Septemba 5, 2012. Mhe. Hui yupo nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)








