REDDS MII TEMEKE WAANZA KUJIFUA TAYARI KWA KINYANG’ANYIRO

Mkufunzi wa warembo katika shoo ya Redd’s Miss Temeke, Dickson Daud akiwanoa warembo hao katika Club ya TCC Chang’ombe jana, tayari kwa shindano lao litakalofanyika Septemba 21 mwaka huu.

Warembo wa Redd’s Miss Temeke, wakiwa mazoezini jana katika Club ya TCC Chang’ombe , tayari kwa shindano lao litakalofanyika Septemba 21 mwaka huu.
(Picha; Dotto Mwaibale)

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!