TBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA SH. MIL. 11 WIKI YA NENDA KWA USALAMA

Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia), akimkabidhi Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga sehemu ya fulana 550, kofia 200 na stika 350 kwa ajili ya maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam jana. Vifaa hivyo vina thamani ya sh. mil. 11.

Kamanda Mpinga (kushoto), akitoa shukrani kwa TBL. Kutoka kulia ni Ofisa Uhusiano wa TBL, Dorris Malulu na Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa kampuni hiyo, Steve Kilindo.

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!