Kamanda Suleimani Kova akijaribu kuwatuliza waisilamu waliaoandamana hadi Wizara ya ya Mambo ya ndani ya nchi jijini Dar es salaam kushinikiza wenzao waliokamatwa na jeshi la polisi walipokataa kuhesabiwa wakati wa zoezi la sensa lililoanza usiku wa kuamkia tarehe 26 Agosti mwaka huu.
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
Jeshi la polosi likiwa tayari kuakikisha ulinzi unakamilika
Waislamu wakiwa wamefurika katika makao makuu ya Wizara ya Mambo ya ndani leo






