CHUO KIKUU HURIA CHATIMIZA MIAKA 20

  Waziri mkuu msitaafu wa jamuhuri yamuungano wa Tanzania Frederick Sumaye akitoa hotuba wakati wa muhadhara wa kujadili changamoto za umasikini ilioandaliwa na Chuo kikuu huria Tanzania ulliofanyika ukumbi wa mikutano wa chuo hicho jiji Dar es salaam jana muhadhara umeenda sambamba miaka 20 ya chuo hicho

Baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho wakiwa katika muhadhara huo wa kujadil changamoto za umasikini

Makamu mkuu wa chuo hicho profesa Profesa Tolly Mbwete akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa muhadhara huo

 PICHA NA PHILEMON SOLOMON
MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!