BFT YATEUA WAAMUZI WA MASHINDANO YA UBINGWA WA TAIFA 2012.

 Shirikisho la ngumi Tanzania (BFT) kwa kupitia chama cha  waamuzi wa ngumi za ridhaa wameteua na kuwathibitisha waamuzi watakao tumika katika mashindano ya ubingwa wa taifa yatakayofanyika kuanzia tarehe 17-22/09/2012 uwanja wa taifa wa ndani.

Waamuzi walioteuliwa ni:-

Mohamed Kasilamatwi mwamuzi wa kimataifa na Juma Selemani mwamuzi wa Afrika kama wasimamizi wa waamuzi.

Waamuzi wa ngazi ya taifa walioteuliwa ni:-Maneno Omari, Ridhaa Kimweli, Mohamed Bamtulla, Shija Masanja, , Moshi makali, Hamza abdallah  na Marko Mwankenja.

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!