PROFESA MUHONGO AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI TPDC

Waziri wa nishati na madini Mhe Profesa Sospeter Muhongo akiongea wakati wa uzinduzi wa bodi ya wakurugenzi ya shirika la maendeleo ya petroli Tanzania (TPDC)uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam  jijini Dar es salaam jana.

PICHA  NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE

Baadhi ya wajumbe wa bodi na wakurugenzi wakiwa katika mkutano huo leo.

Waziri wa nishati na madini Mhe Profesa Sospeter Muhongo akiwa kwenye picha ya pamoja na bodi ya wakurugenzi mara baada ya kumalizika kwa uzinduzi huo

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!