Hamis Athuman kutoka Morogoro avuta milioni 10 za Tigo Beats

Mkazi wa Kijiji cha magugu, Sungaji Kata, Wilaya ya Mvomero Mkoa
Morogoro, Hamis Athuman (kushoto) akikabidhiwa mfano hundi ya
thamani ya Sh. milioni kumi kutoka kwa mwakilishi wa kapuni ya simu za mkononi Tigo,baada kushinda promosheni ya Tigo Beats

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!