Waziri wa Wizara ya Uchukuzi Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb) akijiandaa kusaini Mkataba wa Ushirikiano wa Usafiri wa Anga kati ya Tanzania na Ujerumani, tarehe 17 Septemba, 2012 mjini Berlin. ambapo ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na waziri huyo ulifanikisha mazungumzo hayo na hatimaye ukasainiwa mkataba huo.
Waziri wa Wizara ya Uchukuzi Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb) akisaini Mkataba.wa Ushirikiano wa Usafiri wa Anga kati ya Tanzania na Ujerumani, tarehe 17 Septemba, 2012 mjini Berlin.
Waziri wa Wiazra ya Uchukuzi Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb)akibadilishana Mkataba na Waziri anayeshughulikia masuala ya Usafiri wa Ujerumani mara baada ya Mkataba huo kusainiwa.
Waziri wa Wiazra ya Uchukuzi Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb)akimkabidhi zawadi Waziri mwenzake mara baada ya Mkataba kusainiwa.
Ujumbe wa Tanzania ulioshiriki katika majadiliano kabla ya kusainiwa Mkataba husika ukiwa na wenyeji wao.
Ujumbe wa Tanzania ukiwa katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania, Berlin.








