MAONYESHO YA SARAKASI YA TIGO MAMA AFRICA KUFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

 

Mkurugenzi wa Mancom Center Costantine Magavilla akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu kuanza kwa maonesho ya Tigo Sarakasi Mama Afrika  yatakayofanyika kwenye kituo Cha Sanaa Cha Mwalimu Nyerere (New World Cinema) Mwenge jijini Dar es Salaam, kulia ni Mtaalamu wa Biashara na Masoko wa Tigo Gaudence Mushi na Afisa habari wa Tigo Alice Maro maonyesho hayo yanatarajiwa kuanza tarehe 27 Semptemba 2012 hadi Novemba 4,2012

Mtaalamu wa Biashara na Masoko wa Tigo Gaudence Mushi (kushoto) akimpa mkono mbunifu wa sanamu Issack Shaa wakati wa maonesho ya baadhi ya vifaa vitakavyotumika kwenye maonyesho hayo, wengine ni Mkurugenzi wa Mancom Costantine Magavilla na Afisa habari wa Tigo Alice Maro

Mamba akionyesha umahiri wake
PICHA NA PHILEMON SOLOMON

MIMI NI MPIGA PICHA NA MWANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA NA KUPITIA BLOG HII NINA IMANI TUTAWEZA KUPEANA HABARI MBALIMBALI ZA BURUDANI ZITAKAZOFURAHISHA NA KUELIMISHA NAOMBA USHIRIKIANO WENU ILI TUWEZE KUFIKA TULIPOKUSUDIA

Got something to say? Go for it!