Mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini,Godbless Lema(katikati) akiwa na wakili katika kesi iliyomvua ubunge,Alute Mughai (kushoto) na kulia kwake ni mbunge wa jimbo la Singida Mashariki ambaye pia ni wakili katika kesi ya kupinga kuvuliwa madaraka yake ya ubunge wote wakiwa katika msiba wa baba yake na Lissu aliyefariki hivi kaibuni jijini Dar es salaam na kisha kuzikwa nyumbani kwao Singida.








